Shillah Mwadosho - Profile and Journalist Details

Find journalists that align with your industry, location and vision. Unlock Shillah Mwadosho's full journalist profile, including location, coverage topics, current employer, biography and preferences. Sign up today and start building journalist relationships that fuel your startup's growth.

Get connected with journalists today
Shillah Mwadosho

Shillah Mwadosho

Verified

Editor, Tuko

Nairobi

Biography

Shillah Mwadosho ni mwandishi wa habari wa TUKO.co.ke katika kitengo cha Kiswahili tangu 2019. Ana tajriba ya takriban miaka minne katika fani ya uandishi wa habari kwenye redio, televisheni na gazetini. Barua Pepe: shilla.mwadosho@tuko.co.ke

Final Covers

Human Interest , Current Affairs , Entertainment

Journalist Type

Seniority Positions

Medium Formats

Content

Total articles 956

  • "Tuko wengi": Sudi Akiri kwa Ucheshi Hakwenda Shule, Asema Hayuko Pekee Yake

    By Shillah Mwadosho| Tuko Verified Mbunge wa Kapseret Oscar Sudi amekiri kwa ujasiri kutokuwa na elimu rasmi, akisema yeye ni sehemu ya wengi ambao hawakuhudhuria shuleSudi alisisitiza kuwa sifa za kitaaluma sio hitaji la uongozi wenye matokeoAlieleza zaidi kwa nini yeye husalia bubu Bungeni na hahudumu katika kamati zozoteMbunge wa Kapseret Oscar Sudi amezua mjadala wa umma baada ya kukiri waziwazi kuwa hajawahi kuhudhuria shule. Sudi adai kuwa yeye ni miongoni mwa Wakenya wengi ambao hawakupata nafasi ya elimu rasmi.

    By Shillah Mwadosho · Tuko

    Apr. 14, 2025

  • Silas Apollo: Taarifa Mpya Zaibuka Kuhusu Kifo cha Aliyekuwa Mwanahabari wa NTV

    By Shillah Mwadosho| Tuko Verified Mwanahabari mashuhuri Silas Apollo aligongwa na pikipiki iliyokuwa ikiendeshwa kwa kasi alipokuwa akivuka barabara ya Kiambu Ajali hiyo ilitokea Jumatano, Aprili 9, na familia yake ilipata habari kuhusu kifo chake Jumamosi, Aprili 12 Kulingana na ripoti ya polisi, alifariki katika Hospitali ya Kiambu Level 6 baada ya kuhamishwa kutoka St. Teresa’s Taarifa zaidi zimeibuka kuhusiana na kifo cha kusikitisha cha aliyekuwa mwanahabari wa NTV Silas Apollo, huku polisi sasa wakithibitisha kuwa...

    By Shillah Mwadosho · Tuko

    Apr. 14, 2025

  • Rongai Makanga, Dereva Waliyemuokoa Mwanamke Mgonjwa Afukuzwa Kazi

    By Shillah Mwadosho| Tuko Verified Telvin Mburu na Benson Kana kwa huzuni walipoteza kazi siku chache baada ya kuokoa maisha ya mwanamke aliyejulikana kama Viola Nekesa, ambaye aliugua katika matatu yao Kulingana na makanga huyo wa zamani, kwa kawaida wanatarajiwa kumpa mdosi wao KSh 10,000 wanapofunga kazi, na siku hiyo, inadaiwa walitoa KSh 13,000 kama faida kwa siku hiyo Cha kusikitisha ni kwamba bado walifukuzwa kazi, na Benson hajisikii vizuri kwa sababu ya kupoteza kazi yake ambayo ilimpa kipato cha kulisha familia yake...

    By Shillah Mwadosho · Tuko

    Apr. 14, 2025

As seen in

Company Info

Tuko

TUKO.co.ke is Kenya’s largest online news platform, established in 2015 by Legit Media Group. Based in Nairobi, it employs over 70 people and generates around $5 million in annual revenue. The platform attracts more than 8 million unique users each month, delivering over 32 million page views. TUKO.co.ke is recognized for its editorial expertise and strong social media presence. The company provides comprehensive news coverage, including breaking news, business updates, politics, entertainment, and human-interest stories in both English and Swahili. TUKO.co.ke also offers advertising solutions such as desktop and mobile banners, social media branded posts, and video production. Additionally, it creates tailored campaigns for brands and utilizes technology to enhance user experience through personalized newsfeeds. With a mission to inspire and inform, TUKO.co.ke emphasizes audience-centric content and values accountability, trust, and technological innovation.

'+254 722 465802

Founded: 2015